| Translations | Suras |
| KISWAHILI | |
111 - AL - MASAD | |
KWA JINA LA MWENYEZI MUNGU MWINGI WA REHEMA MWENYE KUREHEMU. | |
| 1 | Imeangamia mikono ya Abu Lahab, na yeye pia ameangamia. |
| 2 | Hayatamfaa mali yake, wala alivyo vichuma. |
| 3 | Atauingia Moto wenye mwako. |
| 4 | Na mkewe, mchukuzi wa kuni, |
| 5 | Shingoni mwake iko kamba iliyo sokotwa. |
| ReadTheQuran.org | |