Translations Suras
KISWAHILI

110 - ANNAS'R

KWA JINA LA MWENYEZI MUNGU MWINGI WA REHEMA MWENYE KUREHEMU.

 
1Itakapo kuja nusura ya Mwenyezi Mungu na ushindi,
 
2Na ukaona watu wanaingia katika Dini ya Mwenyezi Mungu kwa makundi,
 
3Zitakase sifa za Mola wako Mlezi, na umwombe msamaha; hakika Yeye ndiye anaye pokea toba.
 
 
ReadTheQuran.org