| Translations | Suras |
| KISWAHILI | |
105 - AL - FIIL | |
KWA JINA LA MWENYEZI MUNGU MWINGI WA REHEMA MWENYE KUREHEMU. | |
| 1 | Kwani hukuona jinsi Mola wako Mlezi alivyo watenda wale wenye tembo? |
| 2 | Kwani hakujaalia vitimbi vyao kuharibika? |
| 3 | Na akawapelekea ndege makundi kwa makundi, |
| 4 | Wakiwatupia mawe ya udongo wa Motoni, |
| 5 | Akawafanya kama majani yaliyo liwa! |
| ReadTheQuran.org | |