| Translations | Suras |
| KISWAHILI | |
1 - AL-FAATIH'A | |
KWA JINA LA MWENYEZI MUNGU MWINGI WA REHEMA MWENYE KUREHEMU. | |
| 1 | KWA JINA LA MWENYEZI MUNGU MWINGI WA REHEMA MWENYE KUREHEMU. |
| 2 | Sifa njema zote ni za Mwenyezi Mungu, Mola Mlezi wa viumbe vyote; |
| 3 | Mwingi wa Rehema Mwenye Kurehemu; |
| 4 | Mwenye Kumiliki Siku ya Malipo. |
| 5 | Wewe tu tunakuabudu, na Wewe tu tunakuomba msaada. |
| 6 | Tuongoe njia iliyo nyooka, |
| 7 | Njia ya ulio waneemesha, siyo ya walio kasirikiwa, wala walio potea. |
| ReadTheQuran.org | |